Acts 4:13

Ujasiri Wa Petro Na Yohana Washangaza Watu

13 aWale viongozi na wazee walipoona ujasiri wa Petro na Yohana na kujua ya kuwa walikuwa watu wa kawaida, wasio na elimu, walishangaa sana, wakatambua kwamba hawa watu walikuwa na Yesu.
Copyright information for SwhNEN